Amber Rose Ajifungu Mtoto Wapili Wakiume

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MWANAMITINDO maarufu Amber Rose amefanikiwa kujifungua mtoto wa kiume aliye bahatika kumpata na mpenzi wake AE Edwards usiku wa kuamkia leo.

Amber ameshare picha na video kupitia ukurasa wake wa IG, moja akiwa kwenye chumba chakujifungua, pembeni akionekana EA akimsubiri kwa hamu mtoto wao


Slash ndio jina alilopewa mtoto huyo, mtoto ambaye si wa kwanza kwa Amber kwani Model huyo ana mtoto wa kiume na Rapper Wiz Khalifa anayeitwa Sebastian.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad