Good News..Magari ya Kupaa Angani Kuanza Kutengenezwa Kukwepa Foleni....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kampuni ya Uundaji wa Ndege nchini Marekani, Boeing pamoja na Kampuni ya Uzalishaji Magari ya nchini Ujerumani, Porsche zimetia saini makubaliano (MoU) kwa ajili ya uundwaji wa Magari ya Umeme

Magari hayo yatakuwa na uwezo wa kupaa na kutua katika Mtindo wa Wima (Vertical Take-off and Landing (VTOL)) ili kuingia katika soko la huduma za usafiri maarufu kama 'Taxi', huduma inayozidi kukukua kila siku

Aidha, zitaunda timu ya kimataifa kushughulikia masuala mbalimbali ya Usafirishaji wa Anga mijini pamoja na uchambuzi wa uwezo wa soko la magari ya kulipia kwa watu wenye kipato cha juu 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad