Je, Wanaume Wengi Hufa Mapema Kutokana na Msongo wa Mawazo Unaosababishwa na Wanawake?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Pamoja na kwamba wanawake ndiyo wamekuwa wakielemewa na majukumu mengi na mazito kimaisha, lakini ni haohao ambao wamethibitika kuishi kwa muda mrefu kuliko wanaume
-
Katika utafiti uliowahi kufanywa ulibaini kwamba tabia ya kujihatarisha na kukandamiza mihemko ya kihisia kwa upande wa vijana wa kiume, inahusiana moja kwa moja na vifo vya mapema vya wanaume ukilinganisha na wanawake
-
Tabia hizo ni Ugumu katika kufunguka, Ugumu wa kusamehe, Msongo wa mawazo, Ugumu katika kujali afya na Tabia hatarishi kama kuvuta sigara, ulevi na anasa
-
Inadaiwa kwamba Wanaume wengi wana maradhi ya kihisia kuliko wanawake
-
Nini mtazamo wako?
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad