Kampuni ya simu, Smart Telecoms yafunga biashara zake nchini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kampuni ya mawasiliano ya simu, Smart Telecoms imefunga biashara yake nchini Tanzania, baada ya kuwa katika soko kwa kipindi cha miaka 4.

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kuwa Machi 2019 kampuni hiyo iliwasilisha ombi la kufunga biashara kwa haraka, ila ikaongezewa miezi 3 ili kuwapa muda wateja waliokuwa wamenunua vifurushi mbalimbali kuvimalizia.

Kampuni hiyo ilirithi wateja 528 kutoka kwa iliyokuwa Benson Informatics mwezi Juni 2015, lakini ilipofika Oktoba 2015 wateja hao waliongezeka na kufikia 1,800,169. Wateja hao walianza kupungua, na hadi Machi 2019 ilikuwa na wateja 132,400.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad