AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kuwa Machi 2019 kampuni hiyo iliwasilisha ombi la kufunga biashara kwa haraka, ila ikaongezewa miezi 3 ili kuwapa muda wateja waliokuwa wamenunua vifurushi mbalimbali kuvimalizia.
Kampuni hiyo ilirithi wateja 528 kutoka kwa iliyokuwa Benson Informatics mwezi Juni 2015, lakini ilipofika Oktoba 2015 wateja hao waliongezeka na kufikia 1,800,169. Wateja hao walianza kupungua, na hadi Machi 2019 ilikuwa na wateja 132,400.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK