Kompyuta za DPP zadaiwa kuibwa Kamanda Mambosasa Athibitisha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wakati baadhi ya watuhumiwa wa kesi za uhujumu uchumi wakiwa tayari wamekiri makosa na kulipa faini na fidia Mahakamani huku wengine wakiendelea na mchakato wa mazungumzo na DPP, taarifa mpya kwa sasa ni wizi wa kompyuta kwenye ofisi za DPP.

Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa wamethibitisha kupokea taarifa ya wizi huo wa Kompyuta katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP) kanda ya DSM.

Kamanda Mambosasa amesema wamepokea taarifa hiyo Jumanne asubuhi October 15, 2019 na kwamba mpaka sasa hakuna aliyekamatwa ila wanaendelea na uchunguzi kuwabaini waliohusika.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad