AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mama Mzazi wa Msichana huyo anasema siku ya tukio Muuguzi alifika katika wodi namba 3 na alipoona mgonjwa hali yake si nzuri aliomba aondoke nae akambadilishie dawa, walipofika ofisini kwake alimchoma sindano ya usingizi na kisha kumbaka kuanzia saa nne usiku hadi saa nane usiku na kisha kumtupa eneo la kufulia nguo kwenye nyasi akiwa hajitambui na amemwagiwa maji mwili mzima.
"Ni kweli tukio lipo na sio mara ya kwanza siku za nyuma Mgaya akiwa kituo cha afya cha Tarafa ya Igurubi alifanya tukio kama hilo, hii ni mara ya pili na huu ni ukiukwaji mkubwa wa taratibu na kanuni za kiutumishi"- Dkt.Ruta Deus, Mganga Mkuu wa Wilaya
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK