AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa dhati kabisa tunashukuru kwa mchango wako na matumizi mazuri ya taaluma yako katika kuupasha habari Uma wa Watanzania. Miaka mitano kwa Efm naamini ni muda mzuri uliotosha kukujenga, kuwapa hamasa vijana wengine, kujifunza vitu vipya na kuwa miongoni mwa Timu kubwa iliyofanya Taasisi ya EFM na TVE kufika hapa tulipo. .
Uongozi wa Efm unakutakia kila lenye kheri katika mapambano na majukumu yako mapya. Tunaamini hautatuangusha katika utendaji wako kama ilivyo desturi yetu “HATUPOI, HATUBOI” cc @efmtanzania @tvetanzania" Ameandika DJ Majizzo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK