Kwa Maneno ya KUCHOMA Moyo...Majizzo Afunguka Kuhusu Maulid Kitenge Kuhamia Wasafi FM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

"Umekuwa wakati mzuri sana kwenye tasnia ya habari na burudani haswa kwa Familia ya EFM Radio na TVE kuwa na Mtangazaji na Kiongozi wa namna yako. “CHUMVI” @kitengemaulid .

Kwa dhati kabisa tunashukuru kwa mchango wako na matumizi mazuri ya taaluma yako katika kuupasha habari Uma wa Watanzania. Miaka mitano kwa Efm naamini ni muda mzuri uliotosha kukujenga, kuwapa hamasa vijana wengine, kujifunza vitu vipya na kuwa miongoni mwa Timu kubwa iliyofanya Taasisi ya EFM na TVE kufika hapa tulipo. .

Uongozi wa Efm unakutakia kila lenye kheri katika mapambano na majukumu yako mapya. Tunaamini hautatuangusha katika utendaji wako kama ilivyo desturi yetu “HATUPOI, HATUBOI” cc @efmtanzania @tvetanzania" Ameandika DJ Majizzo
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad