AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameagiza Mchekeshaji, Idris Sultan aende kituo cha Polisi kilicho karibu nae baada ya kubadilisha picha ya Mh. Rais na kuweka sura yake.
Idriss kupitia ukurasa wake wa Instagram "Kwa siku moja tukabadilishana kazi ili a-enjoy birthday yake kwa amani."
RC Makonda ameandika "Naona mipaka ya kazi yako huijuwi. Nenda sasa hivi kituo chochote Cha polic uwambie Makonda kaniambie nije utakuta ujumbe wako Idris sultan."
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK