Mzimu wa Ajali Waendelea Kumaliza Watu...Watu 13 Wafariki na 35 Kujeruhiwa Katika Ajali..

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ajali imetokea usiku wa kuamkia leo Oktoba 04 katika barabara ya Kisumu-Kericho karibu na eneo la Awasi‬ na chanzo chake bado hakijajulikana

Basi la abiria la Eldoret Express kutoka Kisumu limegongana uso kwa uso na Lori‬ lililokuwa likielekea Kisumu

Majeruhi wamepelekwa katika hospitali ya Rufaa na Ukufunzi ya Jaramogi Oginga Odinga (JOOTRH), Hospitali ya Misheni ya Awasi na Hospitali ya Hope huku waliofariki wakihifadhiwa katika hospitali ya Ahero
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad