AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mshindi wa taji la ulimbwende kwa mwaka 2019/2020 hapa nchini Sylvia Sebastian, ametangaza kuwa yupo 'single' na kwamba hajaona msanii wala kigogo yoyote, ambaye atamshawishi kuingia naye katika mahusiano.
Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital, mlimbwende huyo amesema kuwa suala la mahusiano kwa sasa hajalipa kipaumbele na kwamba analinda kauli mbiu ya Miss Tanzania inayosema 'Urembo ni heshima'.
"Sina kigogo yeyote kwenye mahusiano, pia napenda mziki, lakini bado sijajua ni msanii gani nampenda sana na kumfikiria kuwa naye kwenye mahusiano, sidhani kama yupo kwa sasa ila mimi namtaka mwanaume yeyote atakayeletwa na Mungu", amesema Sylvia.
Aidha Sylvia amemtaja Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo kuwa ndiye mtu aliyemfanya kupenda masuala ya urembo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Jikite katika Kuboreshha Maisha yako.
ReplyDeleteFamiia yako na Jamii inayo kuzunguka.
Habari ya kigogo na msani kamuulize Dada ya Wema na Woper watakufunza Walio jifunza kiuhalisia wa Maisha.
kwa ushauri binti yangu JITAMBUE
Jikite katika Kuboreshha Maisha yako.
ReplyDeleteFamilia yako na Jamii inayo kuzunguka.
Habari ya kigogo na msani kamuulize Dada ya Wema na Woper watakufunza Walio jifunza kiuhalisia wa Maisha.
kwa ushauri binti yangu JITAMBUE