Wenzetu upande wa pili wanatamani kuona tunasusia uchaguzi – Freeman Mbowe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Freeman Mbowe amewataka Viongozi, Makada na wanachama wa chama hicho, kutosusia uchaguzi wa serikali za mtaa kwani kufanya hivyo ni kukamilisha malengo ya wapinzani wao.



Mbowe amesema hayo leo Jumanne Oktoba 16, 2019 kwenye mkutano wake na waandishi wa habari na kuwaomba Watanzania wote wenye sifa za kupiga kura wajiandikishe kwenye daftari la orodha ya wapiga kura wa uchaguzi wa serikali za mtaa unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad