AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Freeman Mbowe amewataka Viongozi, Makada na wanachama wa chama hicho, kutosusia uchaguzi wa serikali za mtaa kwani kufanya hivyo ni kukamilisha malengo ya wapinzani wao.
Mbowe amesema hayo leo Jumanne Oktoba 16, 2019 kwenye mkutano wake na waandishi wa habari na kuwaomba Watanzania wote wenye sifa za kupiga kura wajiandikishe kwenye daftari la orodha ya wapiga kura wa uchaguzi wa serikali za mtaa unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
HIvyo CDM Kuna M/Kiti Au Kea Teka..?
ReplyDelete