Yanga Kutua Mwanza Leo Waandaliwa Mapokezi Babu kubwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


YANGA inatua hapa Mwanza kesho Ijumaa na uongozi wa matawi yao jijini hapa umewaandalia mapokezi ya maana.



Katibu mkuu wa matawi hayo, Mhando Madega amesema; “Tulikuwa na kikao na viongozi wa matawi ya Yanga jijini Mwanza kwa pamoja tumeazimia kuipokea timu yetu kwa mapokezi makubwa ikiwa ni ishara ya kufanya vyema katika michezo yetu miwili dhidi ya Mbao na Pyramids.”



“Licha ya kuandaa mapokezi makubwa lakini sisi hatulali tunapambana ili Yanga yetu iweze kupata matokeo ya hii michezo miwili kwani endapo tutafanya vizuri katika michezo yetu yote tutajenga imani kubwa kwa viongozi wetu wa juu waendelee kutuamini ili hata michezo mingine waweze kuileta katika jiji la Mwanza ambako tunapata matokeo,”alisema
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad