Zitto Kabwe: Taarifa ya DPP Bado tu? Mbona Kimya Tangu Jana sio Kawaida Yenu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe azidi kushikilia bango sakata la kuibiwa kwa kompyuta katika ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Biswalo Mganga huku akidai mbona kimya hawatoi taarifa tangu jana.

Zitto ambaye ni kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo aliandika ujumbe huo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter kuwa sio kawaida yao kukaa kimya huku akionyeshea video ambayo yupo Rais John Magufuli.

Aliandika ujumbe huu ” Press release ya DPP bado tu? Mbona kimya tangu jana. Sio kawaida yenu. Mtujuze Watanzania ni haki yetu..,? Aliandika Zitto

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. INAKUHUSU, MDANDIA MADA.

    IKARUS KUMBAKUMBA IMERITHIWA NA MWENDOKASI AAU WEWE NI WA DMT..?

    ReplyDelete

Top Post Ad