Ashtakiwa kwa kumnajisi mtoto wa miaka sita

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkazi wa Umbuji, Zanzibar, Maulid Abdallah (29) amefikishwa Mahakama ya Mkoa ya Mwera kujibu mashtaka mawili ya kumtorsha na kumuingilia kinyume na maumbile Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka sita.

Mwendesha Mashtaka wa Serikali Ayoub Nassor mbele ya Hakimu Khamis Simai amesema Mtuhumiwa alimtorosha Mtoto huyo kutoka nyumbani kwao akiwa anacheza barazani na kumpeleka vichakani bila ridhaa ya Wazazi wake kitu ambacho ni kosa kisheria kisha akamuingilia majira ya saa sita mchana.

Mshtakiwa amerejeshwa rumande kwa kile kilichoelezwa kosa hilo halina dhamana na kesi itaendelea tena December 02, 2019.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad