Samuel Eto'o aeleza sababu ya kuanza masomo ya Chuo Kikuu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mchezaji Samuel Eto'o Staa wa zamani wa vilabu vya Barcelona, Inter Milan na Chelsea, baada ya kutangaza kustaafu kucheza soka mwezi Septemba ameeleza ni kwanini ana mipango ya kwenda kusoma Chuo Kikuu cha Harvad.

Eto'o ataanza masomo yake ya usimamizi wa biashara katika Shule ya Biashara ya Harvad (Havard Business School) Januari 2020.

"Nataka kusaidia na kutoa mchango wangu mzuri kwa mabadiliko ya bara letu, unapokuwa mchezaji wa mpira wa miguu, hunalipa watu ili wasimamie kazi yako na mambo yako kwa ujumla," alieleza.

Aliendelea kwa kusema, "Lakini wakati unapofika ni zamu yako unataka kusimamia watu wengine na unataka kuwaendeleza, unahitaji kujifunza ujuzi mpya".
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad