Rais Magufuli "Vya Bure Vimeisha...Sikuja Kuleta HELA Mfukoni Kwako"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais John magufuli amewaambia wananchi wa Wilaya Igunga kuwa hakuja kuleta fedha mifukoni mwao na vya bure vimeisha na kuwataka kufanya kazi na sio kulalamika.

“Vya bure vimeisha na bado vitaisha zaidi, ndugu zangu vya bure hakuna hata mimi sina vya bure, wewe unataka mkono wako uwe soft haufanyi kazi alafu unataka hela, mimi sikuja kuleta hela mfukoni mwako, nimekuja kuwaambia ukweli fanyeni kazi, sio kulalamika tu”alisema Rais.

Rais alieleza hayo baada ya mwananchi Abel Mbinga kumuomba Rais Magufuli kuachia fedha mengine yote hawana shida naye kwani hilo likikamilika hata akitawala milele hakuna shida.

“Rais kama itakupendeza maisha ni magumu sana, fedha hakuna watu wana hali mbaya, akina mama wananyang’anywa TV kwa ajili ya mikopo tunaomba uachie fedha, mengine yote hatuna tatizo na wewe yakikamilika hayo hata ukitawala milele haina shida,” alisema Mbinga

Tags: #RaisMagufuli, Asemahakunavyabure, Fanyakazi
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad