AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Pemba, linamtafuta Hamdu Othman Mcha (65) mwenye wajukuu zaidi ya 20 akituhumiwa kwa kosa la kumbaka mjukuu wake, na kisha kutokomea kusikojulikana
Babu huyo baada ya kudaiwa kufanya kosa hilo, ameitelekeza familia yake kwa muda wa wiki mbili sasa baada ya taarifa za ubakaji kuripotiwa kituo cha Polisi Mtambile
Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Hassan Nassir Ali, alisema awali walipokea taarifa kutoka kwa mtoto wa babu huyo akilalamikia babaye kutoonekana lakini uchunguzi umebaini kumbe ameukimbia mkono wa sheria kutokana na tuhuma za ubakaji dhidi ya mjukuu wake
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK