AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simulizi ya binti Wakonta Kapunda, mwenyeji wa Sumbawanga nchini Tanzania inaeleza mengi. Kwa kumbukumbu, ilikuwa ni Februari 3, 2012 siku ambayo walikuwa na mahafali ya kumaliza kidato cha sita katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Korogwe jijini Tanga ndipo ajali mbaya iliwakuta wakiwa wanafunzi tisa baada ya mwenzao mmoja kuingia ndani ya gari la ndugu yake aliyekuja kumtembelea na ghafla gari hilo lilianza kurudi nyuma kwa kasi ndipo walipokutwa na majanga hayo.
VIDEO:
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK