AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jamaa alikuwa ni mfanyakazi wa shirika la posta nchini humo ambapo mrembo huyo alikuwa ameenda kuchukua mzigo wake(kifurushi) ndipo jamaa akatumia nafasi hiyo kufanya unyama huo ambapo alikuwa ameshaandaa mazingira wawepo wawili tu ndani ndani ya chumba
Awali, siku kadhaa kabla ya kwenda kuchukua mzigo wake, jamaa huyo alimtaka kingono mdada huyo Ila mwanafunzi huyo akampotezea bila kumjibu. Baadaye jamaa akawasiliana na mrembo huyo kuwa kifurushi chake kipo tayari Kwa ajili ya kuchukua ndipo akafanya ukatili huo . Jamaa amekiri kosa
Aidha, tukio Hilo liliibua maandamano makubwa nchini humo watu wakikemea unyanyasaji wa wanawake uliokithiri nchini humo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK