AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ikisisitiza kuwa Desemba 31, mwaka huu ndio mwisho wa kusajili laini za simu kwa alama za vidole, imeelezwa kuwa zilizosajiliwa kwa mtindo huo ni milioni 12.783 sawa na asilimia 29.21.
Jana bungeni jijini Dodoma naibu Waziri wa Wizara hiyo, Atashanta Nditiye alisema zimebaki siku 53 kabla ya ukomo wa usajili wa laini za simu kwa alama za vidole huku Watanzania wakiendelea kulia na ugumu wa upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa.
Nditiye alitoa wito kwa Watanzania kuendelea kusajili laini zao kwani muda ukifika, laini zao hazitakuwa hewani kwa kuwa zitazimwa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK