Laini za simu Milioni 30 hazijasajiliwa kwa alama za vidole

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wakati Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ikisisitiza kuwa Desemba 31, mwaka huu ndio mwisho wa kusajili laini za simu kwa alama za vidole, imeelezwa kuwa zilizosajiliwa kwa mtindo huo ni milioni 12.783 sawa na asilimia 29.21.

Jana bungeni jijini Dodoma naibu Waziri wa Wizara hiyo, Atashanta Nditiye alisema zimebaki siku 53 kabla ya ukomo wa usajili wa laini za simu kwa alama za vidole huku Watanzania wakiendelea kulia na ugumu wa upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa.

Nditiye alitoa wito kwa Watanzania kuendelea kusajili laini zao kwani muda ukifika, laini zao hazitakuwa hewani kwa kuwa zitazimwa.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad