AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
RC Makonda amesema moja ya mambo yanayomnyima usingizi ni pale anapoona Wajane, Wazee, Yatima na Watu wasiokuwa na elimu ya kutosha wanapokonywa haki zao na “Wajanja” wenye uelewa wa Sheria ambapo amewaka wajumbe hao kutazama suala hilo kwa jicho la Tatu.
Aidha RC Makonda amewataka Wajumbe hao kuepuka tabia ya kukaa maofisini na kusubiri wananchi na badala yake watoke nje wakashugulike matatizo ya watu.
Pamoja na hayo RC Makonda amewataka wajumbe hao wahakikishe Wanatumia Hekima na Busara kumaliza migogoro pamoja na kuhakikisha Mashauri hayakai muda mrefu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK