AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Ruby na Kusah wamekuwa ni watu wa kugombana kila kukicha kiasi ambacho watu walikuwa wakigombelezea, maana huyo mwanaume alikuwa akitoa kipigo kikali bila kujua kuwa wana mtoto mmoja,” jirani huyo ameliambia Ijumaa Wikienda -
Chanzo hicho kiliendelea kutiririka kuwa, siku ya tukio, Ruby alikuwa amelala ambapo Kusah aliingia na kuchukua simu ya msanii huyo ndipo akakutana na meseji ya msanii Jux. “Alichokifanya ni kumpiga ngumi ya shingo, kisha kumshushia kipigo kikali kilichomfanya Rubby akimbilie kwa rafiki yake akiwa pekupeku huku chumba chote kikitapakaa damu.
“Kama ni kipigo tu, basi Ruby amekipata. Lakini hiki cha hivi karibuni kilikuwa ni hatari, kibaya zaidi, wakati wanagombana walikuwa wanadaiwa kodi ya shilingi laki saba, hivyo baba mwenye nyumba akawatupia virago vyao nje,” kilisema chanzo hicho
Ruby alipotafutwa na Ijumaa wikienda amesema
“Nimejiuliza maswali mengi sana kwa nini nikubali kipigo na mimi bado ni mdogo? Nimeamua kuachana naye na simtaki kabisa. Ni kweli hivyo vitu vilitolewa nje kwa sababu yeye ndiye aliyesababisha yote hayo, kwani ndiye aliyetakiwa kulipa, matokeo yake nimeambulia aibu na fedheha,” alisema Ruby huku akiomba wanasheria kuingilia kati kusaidia wanawake wanaopigwa na kunyanyaswa na wanaume. -
Kwa mujibu wa Ruby, aliamua kumsaidia baba mtoto wake huyo hasa kwenye eneo la kutoboa kimuziki kwa kumuunganisha na mastaa wakubwa kama Diamond na Jux, lakini mwisho wa siku jamaa huyo aliishia kumtusi na kumwambia kuwa anatembea nao, jambo ambalo siyo kweli kwani lengo lake lilikuwa kumsaidia mzazi mwenzie huyo nae afanikiwe Kwenye muziki
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK