Samatta baada ya kupokea comments zinazodai hachezi vizuri Taifa Stars

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Mbwana Samatta ametumia ukurasa wake wa twitter kueleza msimamo wake, baada ya kupokea comments mbalimbali za mashabiki wa soka Tanzania wakimtuhumu kuwa hajacheza vizuri Taifa Stars katika mchezo dhidi ya Libya, Tanzania ikipoteza 2-1.



“Nimepata meseji na comment kutoka kwa watu kadhaa kuwa awajaelewa kiwango nilichoonesha ktk mechi za timu ya taifa, anyway ukweli nimefurahi kuona watu wanasema ukweli sichukulii binafsi bali nachukulia km chachu itakayonifanya nijitume zaidi ili niweze Bora zaidi, HAINA KUFELI”>>> Samatta

Tunisia wao wameendeleza kuongoza katika msimamo wa Kundi J wakiwa na point 6, Libya point 3(head to head) dhidi ya Tanzania inambeba na Tanzania nafasi ya 3 wakiwa na point 3 na Equatorial Guinea wakiwa wa mwisho kwa kwa kuwa na point 0.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad