TAKUKURU yamkamata Muweka hazina wa kikundi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Arusha inamshikilia Muweka hazina wa kikundi cha ujasiriamali cha Imani kwa tuhuma za kutafuna Tsh.Million 39 za Wanakikundi na kudai zimeyeyuka kishirikina.

Wanakikundi 28 juzi walikesha wakilia nyumbami kwa Muweka hazina huyo Halima Mwidadi Mkazi wa Osunyai Arusha baada ya kuambiwa fedha hizo ambazo walitakiwa kugawana zimepotea katika mazingira ya kutatanisha.

Wengine waliokamatwa na TAKUKURU ni Katibu wa Kikundi Deogratius Seif na Mwenyekiti wake Aisha Saidi ambao walikamatwa jana na kuachiwa kwa dhamana huku Muweka hazina akiendelea kusota Mahabusu kwa sababu za kiupelelezi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad