AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ameeleza hayo katika kipindi maalum cha Konani kinachorushwa na ITV kupitia Mitandao yake ya kijamii ambapo wamesema kwa sasa wanangojea kurejea kwa Lissu ili afungue kesi.
"Sisi tunamsubiri Mhe. Tundu Lissu aje afungue kesi, kitu gani kimemtokea, mazingira gani na yule dereva wake, dereva tumemtafuta imekuwa shida, yeye mwenyewe alipopata matatizo yupo nje hatujamuona, tunamuona tu kwenye mitandao" amesema IGP Sirro.
IGP Sirro ameweka bayana kwamba kesi ya jinai mara nyingi haifi hata ikichukua miaka kumi bado ni kesi ya jinai.
"Kimsingi ni kwamba kesi ipo tunamsubiri Bwana Lissu aje atupe taarifa ilikuwaje na yule shahidi yake nafikiri tutapata sehemu ya kuanzia," amesema.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Sirro, Tundu si Mh tena.
ReplyDeletekwa taarifa yako amesha vuliwa Uheshimiwa baada ya Uchaguzina kupatikana mshindi wa kuwawakilisha wana Singida Mashariki.
Hhuyu msaliti Haludigi, Je ulaia wake niwa kielektoniki..?
Sirro, Tundu si Mh tena.
ReplyDeletekwa taarifa yako amesha vuliwa Uheshimiwa baada ya Uchaguzina kupatikana mshindi wa kuwawakilisha wana Singida Mashariki.
Hhuyu msaliti Haludigi, Je ulaia wake niwa kielektoniki..?