AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
inaelezwa kuwa majeruhi wa ajali hiyo wamefikishwa katika hospitali tofauti tofauti zilizopo katika Mji huo. Aidha, wameongeza kuwa idadi ya watu waliofariki inaweza kuongezeka kutokana na baadhi ya watu kunasa katika viti vya treni hizo zilizopata ajali.
Kwa upande mwingine, usafiri wa treni katika Mji wa Dhaka, Sylhet na Chittagang umesimamishwa kwa muda ili kupisha zoezi la ukoaji kuendelea.
Rais wa Bangladesh Bw. Abdul Hamid na Waziri Mkuu Sheikh Hasima wameelezea masikitiko yao kufuaia tukio hilo. Aidha, usafiri wa Treni katika Miji ya Dhaka, Sylhet na Chittagang umesitishwa kwa muda
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK