Hanscana: Mabifu Yanaua Bongo Fleva

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MKALI wa kuandaa video za muziki Bongo, Hanscana amefunguka kuwa bifu kati ya msanii na msanii zinachochea kifo cha soko la Bongo Fleva.



Hanscana ameiyambia Over Ze Weekend kuwa tofauti iliyopo kati ya Harmonize na Mondi au Mondi na Kiba ni chanzo cha kudumaza muziki huo.



“Haya mambo ya mabifu yanaharibu sana biashara hasa kwa sisi waandaaji wa muziki huo na baadhi ya wasanii. Mfano; unakuta msanii anapafomu labda kwenye shoo ya Uno ya Harmo, basi watu wengine watachukulia kigezo hicho kumtosa msanii huyo kwenye shoo nyingine,” alisema Hanscana na kuongeza; “Hayo mabifu tunaomba yaishe kwani yanatuathiri mno.”

AMMAR MASIMBA

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad