Belle 9 Aogopa Kuwachana Jux na Ben Pol

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa RnB anayewakilisha pande za Morogoro Belle 9, amepata kigugumizi kujibu ni nani mkali kati ya Ben Pol na Juma Jux, ambao wote ni wakali wa muziki wa Rnb hapa nchini.


Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital, Belle 9, amesema wote wawili wapo katika kiwango kimoja na wanafanya kazi nzuri.

"Wote ni wazuri naona wapo katika level moja, wanafanya vizuri, kwangu mimi wote nimefanya nao kazi pia ni watu ambao nina wakubali na ni wadogo zangu maana wamenikuta, lakini kwa kile ambacho wanakifanya nakubaliana nao kabisa hata urafiki wangu kwao ni kwa sababu ya kazi, siwezi kumchana mtu ambaye anafanya vizuri" ameeleza Belle 9.

Aidha Belle 9 amesema kwa sasa ameridhika na amekubaliana na hali yoyote ya maisha itakayotokea kwake.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad