Chama cha Conservative Kinachoongozwa na Boris Johnson chaibuka kidedea katika Uchaguzi Uingereza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Chama cha Conservative kimeshinda zaidi ya viti 326 vya Ubunge huku Kiongozi wa Chama hicho Boris Johnson akiwashukuru wapiga kura wa Uingereza kwa kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi huo.

Waziri Mkuu Boris Jonhson amesema ushindi huo unaipa Serikali mpya fursa ya kuheshimu maamuzi ya kidemokrasia ya Raia wa Uingereza, Boris Johsnon na Chama chake walihitaji kupata viti 326 ili kutangazwa kuwa Washindi lakini wamepitisha idadi hiyo.

Huenda wingi huo wa kura za Wawakilishi Bungeni ukamuwezesha Borris kuufanikisha mpango wake wa Brexit na kuiondoa Uingereza kwenye EU kabla ya Mwezi wa pili Mwakani.

Ufaransa imesema ushindi wa Waziri Mkuu Boris Johnson utawezesha kutekelezwa mchakato wa Brexit kwa utaratibu mzuri.

Wanadiplomasia wa Umoja wa Ulaya wamesifu kinachoelekea kuwa ushindi wa chama cha Conservertive katika muktadha wa mkwamo wa mchakato wa Brexit.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad