AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kabla ya kuchukua nafasi hiyo Sanna mwenye miaka 34 kwa alikuwa waziri wa mambo ya ndani na usafirishaji wa nchi hiyo chini ya chama kikubwa cha Social Democratic atachukua nyadhifa ya juu kabisa ya kisiasa kwenye nchi hiyo kwanzia leo Desemba 9
Waziri mkuu wa sasa wa nchi hiyo Antti Rinne ameondolewa kwenye nafasi hiyo baada ya vyama viwili kwenye muunganiko wa vyama vitano vya kisiasa vitano kupiga kura ya kutokuwa na imani naye
Sanna amekuwa mbunge wa bunge la Finland tangu mwaka 2015 na atakuwa mwanamke wa kwanza mdogo zaidi kuongoza taifa hilo la barani Ulaya
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK