AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
HABARI zilizotufikia hivi punde zinasema mwandishi wa habari za uchunguzi, Bollen Ngetti, anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana muda mfupi uliopita leo Jumatatu, Desemba 23, 2019, maeneo ya Msasani jijini Dar es Salaam.
Tukio hili limetokea ikiwa ni siku nne tu tangu Ofisa wa Program na Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti, adaiwe kutekwa na watu wasiojulikana na baadaye jeshi la polisi likathibitisha kumshikilia kwa mahojiano.
Inasemekana watu waliomteka Ngetti wametokomea naye kusikojulikana. Tunaendelea kufuatilia ukweli wa taarifa hizi na tutawajuza kadri tutakavyopata taarifa zaidi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK