IJue Sheria Inayopiga Marufuku Kupiga Kelele Maeneo ya Makazi ya Watu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Marufuku hii imewekwa kwa mujibu wa kanuni za kudhibiti uchafuzi wa mazingira unaotokana na makelele yanayosababishwa na shughuli mbalimbali katika jamii

Kanuni hizi zilizinduliwa mwaka 2015 kulingana na Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2014.

Kanuni zinampa nguvu mtu anayesumbuliwa na kelele kwenda kushtaki kwenye vyombo husika

Aidha, kanuni zinatoa adhabu ya faini ya hadi milioni 50 au kifungo jela kwa wanaokiuka

Kelele zinazozuiwa na kanuni hizi ni za kutoka migodini, kwenye kumbi za kijamii, kumbi za usiku za starehe, matangazo, baa na kutoka kwenye matukio mengine ya kijamii
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad