RIHANA Kawa Mcharo Kauza Documentary ya Maisha yake Bilion 57 za Kitanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rihanna macho yake yote yapo kwenye mapene, ameripotiwa kuuza haki za filamu fupi ya maisha yake kwa mtandao wa Amazon.

Tovuti ya Hollywood Reporter imeandika kwamba Rihanna amelipwa kiasi cha ($25M) sawa na Bilioni 57 za Kitanzania. Documentary hiyo ambayo inatayarishwa na muongozaji Peter Berg bado haina jina na imekuwa ikitayarishwa kwa miaka mingi sasa.

Katika masaa 1,200 ya kuitazama utapata kuona maisha yake kuanzia muziki, familia, Kazi, mapenzi na masuala mengine ya kijamii.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad