AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tovuti ya Hollywood Reporter imeandika kwamba Rihanna amelipwa kiasi cha ($25M) sawa na Bilioni 57 za Kitanzania. Documentary hiyo ambayo inatayarishwa na muongozaji Peter Berg bado haina jina na imekuwa ikitayarishwa kwa miaka mingi sasa.
Katika masaa 1,200 ya kuitazama utapata kuona maisha yake kuanzia muziki, familia, Kazi, mapenzi na masuala mengine ya kijamii.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK