Wananchi wajitokeza kuipokea Bombardier Mwanza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wananchi na viongozi mbalimbali wameanza kuwasili katika uwanja wa ndege mjini Mwanza kuipokea ndege aina ya Bombardier Q 400 inayotokea Canada ilikokuwa imeshikiliwa kwa siku kadhaa.

Rais wa Tanzania, John Magufuli atawaongoza wananchi katika mapokezi hayo.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella amesema, “ kuanzia saa sita mchana hadi saa tisa alasiri watawasili wananchi na viongozi mashuhuri. Rais ataingia uwanjani hapa saa 10:00 jioni na ndege hiyo inategemewa kuwasili saa 11:00  jioni.”

Novemba 23, 2019 katika hafla ya kuapishwa kwa mabalozi mjini Dodoma Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi alieleza kukamatwa kwa ndege hiyo nchini Canada.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad