AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wananchi na viongozi mbalimbali wameanza kuwasili katika uwanja wa ndege mjini Mwanza kuipokea ndege aina ya Bombardier Q 400 inayotokea Canada ilikokuwa imeshikiliwa kwa siku kadhaa.
Rais wa Tanzania, John Magufuli atawaongoza wananchi katika mapokezi hayo.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella amesema, “ kuanzia saa sita mchana hadi saa tisa alasiri watawasili wananchi na viongozi mashuhuri. Rais ataingia uwanjani hapa saa 10:00 jioni na ndege hiyo inategemewa kuwasili saa 11:00 jioni.”
Novemba 23, 2019 katika hafla ya kuapishwa kwa mabalozi mjini Dodoma Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi alieleza kukamatwa kwa ndege hiyo nchini Canada.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK