Baba wa Samata: Ndoto yetu na Mbwana ilikuwa ni kucheza ligi kuu ya Uingereza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baba wa nahodha wa Tanzania Mbwana Samata anajivunia mafanikio ya mtoto wake katika ulimwengu wa kandanda na kusema kuwa siku zote yeye na mwanaye walikua wanatamani acheze kwenye ligi kuu ya uingereza.

Ndoto hiyo inakaribia kukamilika wakati huu ambapo Aston Villa inatumai kukamilisha makubaliano ya dau la £10m kumsajili mshambuliaji huyo wa klabu ya Genk ya Ubelgiji.

''Siku anacheza na liverpool nilisema akiwafunga nitamchinjia jogoo nilifurahi sana hata sasa ndoto imetimia tulikua tuna ndoto ya kutua uingeleza kwakua ndio ligi pendwa kwa sasa'' alisema baba mzazi wa Samatta
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad