Basi la Bright Line Lapata AJALI Shinyanga na Kusababisha Vifo na Majeruhi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Watu wawili ambao ni abiria wanadhaniwa kupoteza Maisha huku wengine zaidi ya 50 wakijeruhiwa katika ajali ya basi kampuni ya  Bright Line lenye namba za  za usajili T 437 DFJ lililokuwa kikitokea jijini mwanza kwenda Jijini Dodoma.

Ajali hiyo imetokea jana majira ya saa tatu asubuhi Katika eneo la Isela kata ya Samuye Manispaa ya Shinyanga ambapo taarifa za awali zinasema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa basi hilo alikuwa akijaribu kumkwepa dereva boda boda ambaye aligongwa na kukandamizwa na basi hilo

Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa baada ya kumgonga mwendesha pikipiki huyo basi hilo pia liligonga gari dogo lingine aina ya Corolla Wagon yenye namba za usajili T 173 ANW.

Endelea kutembelea Mpekuzi Blog taarifa kwa kina itakujia hivi karibuni
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad