DC Korogwe Aagiza Jeshi la Polisi Kuwasaka Waliotega Jiwe Kwenye njia ya Treni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkuu wa Wilaya ya Korogwe  ameiagiza Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya hiyo kuchunguza Watu waliohusika na dalili za kutaka kuhujumu miundombinu ya reli.

Gwakisa ametoa kauli hiyo baada ya Watu wasiojulikana kutega jiwe kwenye njia ya reli hali ambayo ingeweza kuleta athari kwa treni ya abiria inayopita kwenye eneo hilo.

“Tukio kujitokeza mara mbili haivumiliki, naagiza Polisi chunguzeni kujua waliohusika na ile hujuma, Watu wametega jiwe kwenye njia ya treni, tambueni treni imebeba Watanzania wenzetu, undeni vikundi vya vijana viwe vinakagua kila treni inapotaka kupita”-DC Korogwe
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad