AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbeya. Taasisi ya Tulia Trust (TT) amezindua mpango wa kuwasaidia wazee na wanaoishi katika mazingira magumu mjini Mbeya kwa kuwalipia fedha kwenye Mfuko wa Afya ya Jamii Ulioboreshwa (ICHF).
Hadi leo Jumapili Januari 19, 2020 Tulia Trust ambayo mkurugenzi wake ni naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson imewakatia bima ya afya watu 3,420 ambao ni wazee na wanaoishi katika mazingira magumu kutoka kaya 570.
Jackline Boaz, meneja wa Tulia Trust amesema mpango huo ulianzishwa mwaka 2019 na Dk Tulia, “ leo ndio tunazindua rasmi mpango huu lakini wazee hawa walianza mwaka jana kunufaika na bima ya afya.”
“Lengo la Tulia Trust ni kuona wazee na wanaoishi kwenye mazingira magumu wanakuwa na uhakika wa matibabu. Tutaendelea kusaidia kwenye suala la afya kikamilifu.”
Amesema wanawatambua wenye uhitaji kupitia kwa viongozi wa Serikali za mitaa na kata wa Jiji la Mbeya.
Mwananchi
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK