AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro amemuagiza OCD ahakikishe Watu wasiojulikana ambao wamehusika na wizi wa vifaa vya NIDA katika kituo kidogo cha Halmashauri ya Wilaya Arusha wanajulikana na wanachukuliwa hatua za kisheria bila kumuonea Mtu.
Walinzi wa Ofisi hiyo wamesema hadi leo asubuhi wamezunguka kufanya ukaguzi nje ya jengo hilo na hawakuona dalili za tukio la wizi wala mlango kuvunjwa.
"Usinunue Laptop au camera ambayo huijui, tukikukamata na vifaa hivyo wewe ni sawa umekutwa na ngozi ya twiga au nyara nyingine ya Taifa, na kama unavyo vifaa rudisha tukivapata vifaa hivyo kwa nguvu zetu hakuna rangi utaacha ona" - Jerry Muro, DC Arumeru
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK