AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi ametoa siku mbili za Jumanne na Jumatano kwa Taasisi zote ambazo zinashughulikia zoezi la usajili kwa njia ya vidole kuhakikisha wanatenga eneo la Nyerere Square kufanyia shughuli zao zote hapo ili kuondoa usumbufu kwa wananchi wao.
Amesema kufanya hivyo kutasaidia kuepusha usumbufu kwa wananchi ambao wamekuwa wakipata shida ya kwenda NIDA kisha waende Uhamiaji ndipo waende kusajili line zao badala yake sasa taasisi zote hizo zitakua sehemu moja.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK