Mtoto wa miaka 12 auawa, achunwa ngozi na kukatwa sehemu za siri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtoto Hassan Muba mwenye umri wa miaka 12 Mkazi wa Kibiti, Pwani anadaiwa kuuawa na kuchunwa ngozi usoni huku ikiripotiwa pia ameondolewa sehemu za siri.

"Alipotea January 07 akapatikana January 09 mwaka huu chini ya mwembe tulikuta nguo ziko pembeni, amechunwa ngozi usoni na ameondolewa sehemu za siri, amekatwa nyama makalioni na mapajani, shingo imevunjwa pia”- Mohammedi Pepe, Babu wa Mtoto

"Ni kweli taarifa tunazo lakini tumefanya uchunguzi na kubaini hakuondolewa sehemu za siri isipokuwa zilisinyaa" - RPC Rufiji, Onesmo Lyanga
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad