AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MWANAFUNZI Michael Aloni (20) Mkazi wa Kijiji Cha Ihanda mkoani Songwe amenusulika kifo baada ya kunywa sumu kufuatia kupata matokeo asiyoyatarajia ya Division 4 ya 26, katika matokeo ya kidato cha nne yalitolewa jana.
Michael ambaye ni muhitimu wa Shule ya Sekondari St. Aggrey, alitarajia kupata Division 1 katika matokeo hayo yaliyotangazwa jana na Katibu Mkuu wa Baraza la Mitihani Tanzania, Dkt. Charles Msonde.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK