Mbunge Bulaya Apewa Mikoba ya Tundu Lissu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Dodoma. Bunge la Tanzania limemtangaza Mbunge wa Bunda (Chadema), Ester Bulaya kuwa mnadhimu mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni.

Leo Jumanne Januari 28, 2020 Spika Job Ndugai amemtangaza Bulaya akibainisha kuwa amepokea jina hilo kutoka kwa kiongozi wa kambi hiyo bungeni, Freeman Mbowe.

Bulaya anachukua nafasi ya aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu aliyevuliwa ubunge kwa madai ya kutoonekana bungeni bila taarifa yoyote.

Kabla ya uteuzi huo wa Bulaya, mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini alikuwa anakaimu nafasi hiyo. Selasini alijiuzulu wiki iliyopita.


Mbali na kumtangaza Bulaya, Spika Ndugai amempongeza Mbowe kwa kuchaguliwa kwa mara nyingine kuwa mwenyekiti wa Chadema na John Mnyika kuwa katibu mkuu wa chama hicho.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad