AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu wanne wamefariki Dunia kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Mkoani Lindi huku nyumba nyingi zikisombwa na maji na Barabara kuharibika .
"Watu wawili Wilaya ya Lindi na wawili Wilaya ya Ruangwa wamefariki kwa kusombwa na maji, kule Njinjo, Wilayani Kilwa hali ni mbaya tumechukua Boti kwenda kuokoa" - Godfrey Zambi, Mkuu wa Mkoa wa Lindi
"Nawaomba Wananchi hasa wanaotembea kwa miguu na vyombo vya Moto kutotembea usiku kwa kuwa mvua hizi zinapasua sana Barabara" - ZAMBI
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK