AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Spika wa Bunge Job Ndugai amesema Rais Magufuli amepokea azimio la pongezi lililofikiwa na Bunge kwenye kikao cha 17, kufuatia mafanikio na mageuzi kwenye utendaji kazi wa Serikali na pia ameandika barua ya kulishukuru Bunge kwa kutambua mchango wake.
Barua hiyo ya Rais imesomwa kwenye ufunguzi wa Mkutano wa 18 na Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai ambapo amesema Rais Magufuli analishukuru Bunge kwa kutambua mchango wake wa kuliletea maendeleo Taifa.
“Niendelee kuwaasa Wabunge na watanzania kwa ujumla tuendelee kuipambania nchi yetu, ili tuweze kufikia maendeleo yenye uchumi wa kati” amesema Spika Ndugai wakati akisoma barua ya Rais Magufuli
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK