Rais Magufuli Aliandikia Barua Bunge

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Spika wa Bunge Job Ndugai amesema Rais Magufuli amepokea azimio la pongezi lililofikiwa na Bunge kwenye kikao cha 17, kufuatia mafanikio na mageuzi kwenye utendaji kazi wa Serikali na pia ameandika barua ya kulishukuru Bunge kwa kutambua mchango wake.

Barua hiyo ya Rais imesomwa kwenye ufunguzi wa Mkutano wa 18 na Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai  ambapo amesema Rais Magufuli analishukuru Bunge kwa kutambua mchango wake wa kuliletea maendeleo Taifa.

“Niendelee kuwaasa Wabunge na watanzania kwa ujumla tuendelee kuipambania nchi yetu, ili tuweze kufikia maendeleo yenye uchumi wa kati” amesema Spika Ndugai wakati akisoma barua ya Rais Magufuli
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad