AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika rasmi la habari la Qatar ,QNA, kupitia ukurasa wao wa Twitter limeandika kwamba Al Sani amejiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mkuu.
Naye Amir wa Qatar, Sheykh Temim bin Hamed Al Sani alikubali kujiuzulu huko na amemteua Halid bin Halife bin Abdulaziz Al Sani kuwa waziri mkuu mpya.
Katika taarifa hiyo haikutajwa sababu ya kujiuzulu kwa waziri mkuu huyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK