Waziri mkuu wa Qatar ajiuzulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika rasmi la habari la Qatar ,QNA, kupitia ukurasa wao wa Twitter limeandika kwamba Al Sani amejiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mkuu.

Naye Amir wa Qatar, Sheykh Temim bin Hamed Al Sani alikubali kujiuzulu huko na amemteua Halid bin Halife bin Abdulaziz Al Sani kuwa waziri mkuu mpya.

Katika taarifa hiyo haikutajwa sababu ya kujiuzulu kwa waziri mkuu huyo.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad