AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp ameweka historia baada ya kushinda tuzo ya Kocha bora wa EPL kwa mara ya tano ndani ya msimu mmoja
Klopp amefanikiwa kuvunja rekodi iliyowekwa na Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola katika msimu wa mwaka 2017/18 aliyeshinda tuzo hiyo mara nne
Ameshinda tuzo hizo kwa mwezi Agosti, Septemba, Oktoba, Desemba 2019 na Januari mwaka huu baada ya Liverpool kushinda mechi dhidi ya Sheffield United, Tottenham Hotspur, Manchester United, Wolverhampton Wanderers na West Ham United
Makocha wengine waliokuwa wanawania tuzo hiyo ni Pep Guardiola, Ralph Hasenhüttl na Nigel Pearson
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK