Makamu wa Rais wa Iran Akumbwa na Virusi vya Corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Viongozi wawili nchini Iran, Makamu wa Rais wa Iran anayeshughulikia wanawake na masuala ya familia, Masoumeh Ebtekar na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Usalama wa Taifa na Mambo ya Nje, Mojtaba Zolnour wote wamethibitika kuwa na maambukizi ya virusi vya corona.

Idadi ya waliofariki Iran imefikia Watu 26 huku walioathirika wakifikia 245.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad