AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Viongozi wawili nchini Iran, Makamu wa Rais wa Iran anayeshughulikia wanawake na masuala ya familia, Masoumeh Ebtekar na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Usalama wa Taifa na Mambo ya Nje, Mojtaba Zolnour wote wamethibitika kuwa na maambukizi ya virusi vya corona.
Idadi ya waliofariki Iran imefikia Watu 26 huku walioathirika wakifikia 245.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK