Mtanzania Auawa Kwa Kupigwa RISASI Tano za Kichwa Afrika Kusini...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Shabani Kassim Ally (43), Mtanzania aliyekuwa akiishi Afrika Kusini ameuawa kwa kupigwa risasi tano za kichwa katika Mji wa Durban, nchini Afrika Kusini

Imeelezwa kuwa, chanzo cha kifo chake ni mgogoro wa kibiashara. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, Emmanuel Buhohela amesema hawajapata taarifa za kifo hicho kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini

Mmoja wa ndugu wa marehemu, Ally Mang’uro “Ni kweli amefariki, mwili umeshapandishwa kwenye ndege kutoka Afrika Kusini, tutaupokea Uwanja wa Ndege, mwili utasafirishwa kwenda Muheza (Tanga) kwa mazishi.”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad