AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ndege ya shirika la #Uturuki #TurkishAirlines #Boeing737-8 yenye usajiri namba TC-JZH yaburuza mkia chini wakati wa kupaa katika uwanja wa ndege #Istabul.
Rubani wa ndege hiyo alimua kuchukua maamuzi magumu ya kugeuza ndege hiyo dakika 120 baadae na kutua salama.
Hakuna majeruhi katika tukio hilo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK